MWONGOZO WA KITAIFA WA UANZISHAJI MAJUKWAA YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI WAZINDULIWA
Na WMJJWM Pwani Serikali imezindua Mwongozo wa Kitaifa wa Uanzishaji na Uendeshaji Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi wenye lengo la kuleta ufanisi wa utekelezaji wa majukwaa haya ikiwa ni pamoja na kuyafanya yajulikane ngazi zote hapa nchini. Akizungumza katika Uzinduzi wa Mwongozo huo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed